Skip to main content

T.I. na Bow Wow wamporomoshea matusi mazito Trump



T.I. na Bow Wow wamemkingia kifua Snoop Dogg kwa kuumporomoshea matusi mazito Rais wa nchi hiyo, Donald Trump.
Hatua hiyo ilikuja baada ya Trump kumkosoa Snoop kwa kumkejeli kwenye video ya wimbo wake ambayo inaonesha akimpiga risasi mtu anayefanana na Rais huyo. “Can you imagine what the outcry would be if @SnoopDogg, failing career and all, had aimed and fired the gun at President Obama? Jail time,” aliandika Trump kwenye Twitter.
Baada ya kauli hiyo, Bow Wow alimuambia Trump: Ayo @realDonaldTrump shut your punk ass up talking shit about my uncle @SnoopDogg before we pimp your wife and make her work for us.”
Naye T.I. ameandika kwenye Instagram: “@snoopdogg is a Fuckin Legend u Fucking Tangerine Tanned Muskrat scrotum skin, Lacefront Possum fur Wig wearing, Alternative fact, Atomic Dog diarrhea face ass man,” he wrote. “Leave our legends names out ya fuckin old ass puppy piss smelling ass mouth & continue to focus on dividing minorities,building barriers, alienating immigrants, &fuckin this country up like u been doin…. #UWannaBeDictator#PresidentialLevelFuckBoy.”
ANGALIA VIDEO YA DIAMOND AKISEMA HANA BIFU NA ALLY KIBA

Comments

Popular posts from this blog

PICHA ZA MUONEKANO WA GARI LA SIMBA SPORT CLUB

Basi la klabu ya Simba SC aina ya Yutong sasa lina muonekano mpya baada ya  wadhamini wazamani TBL kupitia Kilimanjaro kumaliza mkataba wao na timu hiyo. Mwonekano wake safari hii, kuna picha za wachezaji mbalimbali.

MCHEZAJI WA NICE YA UFARANSA AMESEMA ALIKUA MWATHIRIKA WA UBAGUZI WA RANGI

Mchezajiwa wa klabu ya Nice ya nchini Ufaransa Mario Balotelli anasema kuwa alikuwa mwathiriwa wa ubaguzi wa rangi wakati wa mechi ya Ijumaa dhidi ya Bastia. Balotelli ambaye mchezaji hyo wa zamani wa Liverpool mwenye umri wa mika 26 aliandika katika mtandao wa kijamii akisema, ni jambo la kawaida kwamba wafuasi wa Bastia hufanya makelele ya tumbili kwa mechi yote na hakuna mtu katika idara ya adhabu anayechukua hatua? ”Kwa hivyo ubaguzi wa rangi ni sheria halali nchini Ufaransa? Ama ni Bastia pekee? Soka ni mchezo mzuri lakini watu kama wafuasi wa Bastia wanaharibu.Ni aibu kubwa”. Balotelli ambaye alicheza dakika 90 aliporudi uwanjani baada ya kutumikia adhabu yake ya mechi waliyo toka sare ya 1-1 huko Corsica. Ujumbe huo uliotumwa katika mtandao wa Instagram ulisambazwa na Nice katika mtandao wa Twitter wa klabu hiyo. Jopo la adhabu la ligi ya Ufaransa ambalo hutoa maamuzi halijatoa tamko lolote. Balotelli amesha funga mabao 10 katika mechi 15 tangu alivyo jiunga na ...

MARIO BALOTELLI BADO ANDELEZA VITUKO VYAKE

Mchezaji mtukutu Mario Balotelli bado anaendelea na vituko vyake baada ya  kupata kadi nyekundu na kutolewa nje ya dimba kwenye dakika za majeruhi wakati timu yake ya Nice ilipotoka suluhu ya 0-0 na Bordeaux. Hii ilikuwa ni katika mtanange wa Ligi Kuu ya Ufaransa maarufu kama Ligue 1. Sare hiyo ya bila kufungana inaifanya klabu hiyo ya Nice kuzidi kukaribiwa point na klabu ya soka ya Monaco kwenye msimamo wa ligi hiyo ambapo sasa inaongoza kwa tofauti ya alama 2 pekee. Mshambuliaji huyo wa zamani wa Liverpool na Manchester City alipatiwa kadi nyekundu ya moja kwa moja baada ya kumfanyia rafu mbaya Lewczuk ambaye ni beki.