Skip to main content

MASWAIBU YA MKE WA MTUU SEHEMU YA KWANZA

STORY BY ABDALLAH JONGO
STORY INAHUSU MASWAIBU YA MKE WA MTU
SEHEMU YA KWANZA
Whatsapp...0757357341



           Ilikua muda ya saa kumi na moja alfajiri katika kijiji cha Koromije kwenye nyumba ya amina kulitokea na zogo kubwa ambalo lilileta sintofahamu kwa bwana Athumani na binti Amina kwani siku hiyo bwana Athumani alikua amesikia maneno kutoka kwa jirani zao kua mke wake Amina hua anaaga nana kwenda kuswali alfajir kumbe anaenda kwa bwana john kitendo cha mmewe kumkataza kuto kwenda kuswali aliona kama anaonewa hii au atendewi haki....................................
          Ilichukua takiribani saa nzima la zogo mpaka watu walio kua wana pita kusikia mizozo ilio kua ina endelea kwa bwana Athuman na watu wakalazimika kuonga hodi kujua tofauti zao lakini hilo swala likazungumzwa na wapita njia mpaka wakafikia mua faka ilipita takribani wiki moja wakiishi kwa kutokua na mazungumuzo madhuri katiyao mwanamke aliomba ruhusa ya kwenda kwao kumuuguza mama yake alie kua akiumwa.....................................................
       Mwanaume alimpa ruhusa ya kwenda kumuuguza mama yake.Bwana Athumani akaamua kumsindikiza hadi stend kumbe mkewe analake jambo alipanda gari na kwenda kushukia kijiji cha pili kilicho kua kina itwa twaweza...................
TUTAENDELEA KESHO MUDA KAMA HUU ...........
     KINGJONGO TV

Comments

Popular posts from this blog

PICHA ZA MUONEKANO WA GARI LA SIMBA SPORT CLUB

Basi la klabu ya Simba SC aina ya Yutong sasa lina muonekano mpya baada ya  wadhamini wazamani TBL kupitia Kilimanjaro kumaliza mkataba wao na timu hiyo. Mwonekano wake safari hii, kuna picha za wachezaji mbalimbali.

MCHEZAJI WA NICE YA UFARANSA AMESEMA ALIKUA MWATHIRIKA WA UBAGUZI WA RANGI

Mchezajiwa wa klabu ya Nice ya nchini Ufaransa Mario Balotelli anasema kuwa alikuwa mwathiriwa wa ubaguzi wa rangi wakati wa mechi ya Ijumaa dhidi ya Bastia. Balotelli ambaye mchezaji hyo wa zamani wa Liverpool mwenye umri wa mika 26 aliandika katika mtandao wa kijamii akisema, ni jambo la kawaida kwamba wafuasi wa Bastia hufanya makelele ya tumbili kwa mechi yote na hakuna mtu katika idara ya adhabu anayechukua hatua? ”Kwa hivyo ubaguzi wa rangi ni sheria halali nchini Ufaransa? Ama ni Bastia pekee? Soka ni mchezo mzuri lakini watu kama wafuasi wa Bastia wanaharibu.Ni aibu kubwa”. Balotelli ambaye alicheza dakika 90 aliporudi uwanjani baada ya kutumikia adhabu yake ya mechi waliyo toka sare ya 1-1 huko Corsica. Ujumbe huo uliotumwa katika mtandao wa Instagram ulisambazwa na Nice katika mtandao wa Twitter wa klabu hiyo. Jopo la adhabu la ligi ya Ufaransa ambalo hutoa maamuzi halijatoa tamko lolote. Balotelli amesha funga mabao 10 katika mechi 15 tangu alivyo jiunga na ...

MARIO BALOTELLI BADO ANDELEZA VITUKO VYAKE

Mchezaji mtukutu Mario Balotelli bado anaendelea na vituko vyake baada ya  kupata kadi nyekundu na kutolewa nje ya dimba kwenye dakika za majeruhi wakati timu yake ya Nice ilipotoka suluhu ya 0-0 na Bordeaux. Hii ilikuwa ni katika mtanange wa Ligi Kuu ya Ufaransa maarufu kama Ligue 1. Sare hiyo ya bila kufungana inaifanya klabu hiyo ya Nice kuzidi kukaribiwa point na klabu ya soka ya Monaco kwenye msimamo wa ligi hiyo ambapo sasa inaongoza kwa tofauti ya alama 2 pekee. Mshambuliaji huyo wa zamani wa Liverpool na Manchester City alipatiwa kadi nyekundu ya moja kwa moja baada ya kumfanyia rafu mbaya Lewczuk ambaye ni beki.