Msanii wa kizazi kimpya alimaarufu kama dogo janja amemwagia sifa kede kede msanii harmorapa kua harmorapa yeye hatafuti kiki ila kiki zina mfuata yeye ukiangalia kwenye tukio la kutolewa bastora kwa aliekua waziri wa habari nape yeye alikimbia watu wakaweka kama kiki alifanya harmo rapa wakati sio kweli.nakuzihilisha kua anamkubali mpaka kwenye cm yake ananyimbo ya harmorapa kiboko ya mabishoo.dogo janja anayefahamika kwa kibao chake kipya alicho toa jana jumaa tano cha kinacho itwa ukivaanguo gani unapeneza.
Comments
Post a Comment